VICHWA VYA HABARI

Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks t>

Sunday, April 17, 2016

Watoto Geita walazimika kuchagua kati ya chakula na masomo

Ingawa serikali ya Tanzania inataka kutoa elimu kwa kila mtoto, baadhi ya watoto wa mkoani Geita wamesema wanapendelea kufanya kazi migodini au kuvua samaki kwani familia zao hazina pesa ya kutosha na hawataki kulala njaa. Hawa Bihoga amewatembelea na kushuhudia hali ya maisha yao.

fuatilia link kwa habari zaidihttp://www.dw.com/sw/watoto-geita-walazimika-kuchagua-kati-ya-chakula-na-masomo/av-19183127

0 comments:

Post a Comment