VICHWA VYA HABARI

Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks t>

Monday, April 18, 2016

Daraja la kisasa kuzinduliwa Kigamboni

File
Rais Joseph Pombe Magufuli wa Tanzania atafungua daraja la Kigamboni hapo kesho.
Daraja hilo litaunganisha eneo la Kigamboni na mji wa Dar es Salaam.
Ujenzi wa daraja hilo umegharimu zaidi dola milioni 140.
Daraja la Kigamboni linatarajiwa kurahisisha usafiri na uchukuzi jijini humo.
Daraja hilo ndilo daraja refu zaidi Afrika Mashariki linalobeba uzito kwa nyaya.

 http://www.bbc.com/swahili/medianuai/2016/04/160418_kigamboni_bridge

0 comments:

Post a Comment