VICHWA VYA HABARI

Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks t>

Sunday, March 13, 2016

Tanzania yajinasibu kuhusu takwimu kwenye ajenda 2030

Dokta Albina Chuwa, Mkurugenzi Mkuu wa  Ofisi
 ya Taifa ya Takwimu Tanzania. Picha: Kiswahili Unit
Mkutano wa 47 wa kamisheni ya takwimu ya Umoja wa Mataifa ukifikia ukingoni leo, Tanzania imesema imeshaandaa mpango wa ufuatiliaji wa masuala ya takwimu kwenye utekelezaji wa ajenda 2030 iliyopitishwa mwaka jana.
Akihojiwa na Idhaa hii kando ya mkutano huo uliopitisha viashiria vya kitakwimu vya kufuatilia malengo 17 ya ajenda hiyo, Mkurugenzi Mkuu wa ofisi ya Taifa ya takwimu nchini Tanzania Dkt. Albina Chuwa amesema mara baada ya kupitishwa kwa ajenda hiyo, waliitisha kikao cha wadau wanaozalisha na kutumia takwimu ili kuelezea mwelekeo unaotakiwa na sasa..
Na kuhusu takwimu na mabadiliko ya tabianchi kwa mujibu wa ripoti ya Katibu Mkuu wa Umoja wa mataifa iliyowasilishwa kwenye mkutano huo Dokta


http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2016/03/tanzania-yajinasibu-kuhusu-takwimu-kwenye-ajenda-2030/#.VuWuIlKbkdU

0 comments:

Post a Comment