VICHWA VYA HABARI

Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks t>

Thursday, March 10, 2016

Kasi ya kudhibiti madawa ya kulevya iendane na matibabu kwa waathirika- Ripoti INCB

Ripoti mpya ya Bodi ya kimataifa ya kuzuia madawa ya kulevya, INCB, imeshauri serikali duniani kuhakikisha harakati za kudhibiti upatikanajiwa dawa za kulevya zinaenda sambamba na harakati za kuwapatia dawa za matibabu waathirika wa madawa hayo.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa riptoi hiyo nchini Tanzania Afisa mradi wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya udhibiti wa madawa ya kulevya na uhalifu, UNODC nchini humo Immaculate Malyamkono amesema
(Sauti ya Immaculate)
Mapema Mkuu wa kitengo cha elimu, habari na takwimu kutoka Tume ya Taifa ya Kudhibiti dawa za kulevya nchini Tanzania Dkt. Amani Msami amezungumzia hali ya huduma za matibabu nchini Tanzania.

 Uzinduzi ripoti mpya ya Bodi ya kimataifa ya kuzuia madawa ya kulevya, INCB.(Picha:UNIC/Tanzania)

0 comments:

Post a Comment