VICHWA VYA HABARI

Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks t>

Thursday, March 17, 2016

TAMISEMI YAAGIZWA KUSIMAMIA VIZURI MIKOA NA HALMSHAURI ILI KULETA MAENDELEO TARAJIWA.

Waziri Mkuu Aagiza OR TAMISEMI Kusimamia Mikoa na Halmashauri Kuleta Maendeleo tarajiwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa ameitaka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali...

Naibu Waziri apiga marufuku eneo la Shule kutumika kibiashara

Naibu Waziri apiga marufuku eneo la Shule kutumika kibiashara Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Selemani Jafo, ameuagiza uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, kufuta mawazo ya kubadilisha matumizi Shule ya Msingi Uhuru...

IPENDE TANZANIA KWA KUIJUA VEMA ILI UILINDE, JE! UNAIFAHAMU RASIMU YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA? Soma hapa

http://www.ikulu.go.tz/index.php/media/publicatio...

Kashfa ya rushwa: FIFA yawageukia viongozi wa zamani

Gianni Infantino, Rais mpya wa FIFA. Ijumaa Februari 26, 2016 mjini Zurich. FIFA TV Na RFI Enzi mpya yafunguliwa katika Shirikisho la kimataifa la Soka (FIFA), ambapo rais mpya aliyechaguliwa, Gianni Infantino,...

Vijana wandelea kutowakilishwa katika mabunge duniani : Ripoti

Nembo ya IPU.(Picha@IPU) Ripoti mpya ya muungano wa mabunge duniani IPU inaonyesha kuendelea kwa tatizo sugu la kutowakilishwa ipasavyo kwa vijana katika mabunge, wakati huu ambapo idadi ya kundi hilo duniani ni ikubwa kuliko wakati wowote ule. Ripoti hiyo iitwayo uwakilishi...

Tuesday, March 15, 2016

Malawi yachoma pembe za ndovu haramu

Shirika la wanyama pori la Afrika linasema kuwa ndovu takriban elfu 35 waliuwawa barani humo mwaka jana. Pembe za ndovu haramu zikichomwa.   Malawi ilichoma pembe za ndovu takriban mia 8 jummatatu kuonyesha nguvu dhidi ya biashara haramu ya wanyama pori. Maafisa...

CUF yasema baadhi ya wakazi wa Zanzibar wakimbilia Mombasa

Siku kadhaa kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu wa marudio huko Zanzibar, Chama cha Wananchi -CUF kimesema baadhi ya wanachama wake huko kisiwani Pemba wameanza kukimbilia maporini wakitafuta uwezekano wa kutoroka kisiwani humo na kukimbilia katika mji wa Mombasa nchini Kenya...

Tanzania yaahirisha uzinduzi wa kituo cha mpakani na Kenya

Rais John Magufuli alippofungua Bunge la 11 la Tanzania. Kuanzishwa kwa kituo kipya cha mpakani kati ya Kenya na Tanzania huko Lungalunga huenda ikachukua muda kabla marais wa mataifa hayo mawili kuzindua rasmi kituo hicho baada ya Tanzania kuomba muda kukamilisha ujenzi...

Rais Magufuli asema hasara ya mishahara hewa inafikia billioni 2.5 kwa mwezi

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli akitoa hotuba ya kitaifa Rais wa Tanzania  John Magufuli amewaapisha wakuu wa mikoa aliowateua hivi karibuni nchini humo huku akizungumzia upotevu mkubwa wa mapato ya serikali unaotokana na kuwepo watumishi hewa Akizungumza...

Sunday, March 13, 2016

Arsenal yavuliwa ubingwa -FA CUP

St George na TP Mazembe nguvu sawa Wachezaji wa TP Mazembe Michuano ya kombe la klabu bingwa Afrika imeendelea jana kwa michezo kadhaa. Miongoni mwa matokeo ya mechi hizo Enyimba ya Nigeria imeibugiza Vitaloo ya Burundi mabao 5-1, St George ya Ethiopia imetoshana...

Nyumba za chama cha CCM zachomwa Pemba, Zanzibar

Watu wasiojulikana wamechoma moto nyumba za Chama Cha Mapinduzi kisiwani Pemba huku duru ya pili ya uchaguzi ikitarajiwa Machi 20. Kamishena wa polisi wa eneo la Pemba Kusini Mohamed Shakani amesema watu hao wamechoma maeneo 11 ya kufanyia mikutano na zahanati moja lakini hakuna aliyejeruhiwa. Amesema mshukiwa mmoja kwa jina Mohamed Ramadhan...

Tanzania yajinasibu kuhusu takwimu kwenye ajenda 2030

Dokta Albina Chuwa, Mkurugenzi Mkuu wa  Ofisi  ya Taifa ya Takwimu Tanzania. Picha: Kiswahili Unit Mkutano wa 47 wa kamisheni ya takwimu ya Umoja wa Mataifa ukifikia ukingoni leo, Tanzania imesema imeshaandaa mpango wa ufuatiliaji wa masuala ya takwimu kwenye...

TFF YAMALIZA MKUTANO WAKE MKUU SALAMA JIJINI TANGA

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) jana limefanya Mkutano Mkuu wa Mwaka katika Ukumbi wa Hoteli ya Regal Naivera jijini Tanga ambapo mgeni Rasmi alikua ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mwantumu Mahiza. Katika hotuba yake kwa wajumbe wa mkutano huo, Mahiza aliushukuru...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa wakuu wa Mikoa 26 ya Tanzania Bara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa wakuu wa Mikoa 26 ya Tanzania Bara, ambapo kati yao 13 ni wapya, 7 wamebakizwa katika vituo vyao vya kazi, 5 wamehamishwa...

SERIKALI YAANZA KUKUSANYA HELA KWA AJILI YA UNUNUZI WA MELI- ZIWA VICTORIA

Waziri Mkuu KASSIM MAJALIWA amesema Serikali imeanza kukusanya fedha kwa ajili ya kununua meli mpya kwa ajili ya usafirishaji wa abiria na mizigo kwenye Ziwa Victoria. Waziri Mkuu MAJALIWA ametoa taarifa hiyo Mkoani KAGERA baada ya kupokea taarifa ya mkoa huo ambako amewasili leo kwa ziara ya siku tatu kwa ajili ya kukagua masuala...

Friday, March 11, 2016

Mkutano Mkuu wa mwaka wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)tar 12-13 March 2016 jijini Tanga

Mkutano Mkuu wa mwaka wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) uliokuwa ufanyike mwezi Disemba mwaka jana sasa utafanyika wikiendi hii Jumamosi na Jumapili tar 12-13 March 2016 jijini Tanga. Ajenda za mkutano huu ni kwa mujibu wa katiba ya TFF. Mkutano mkuu utahitimishwa...

Juhudi Za Kurejesha Takribani Wafungwa elfu Tatu Nchini Zaendelea

Wakenya wanaotumikia vifungo gerezani katika mataifa ya kigeni wanatarajiwa kurejeshwa hapa nchini kukamilisha vifungo vyao iwapo kutakuwa na maafikiano kati ya Kenya na nchi ambao wakenya wamefungwa gerezani. Hii ni baada ya kuratibiwa kwa rasimu ya mkataba wa maelewano...

Rais MAGUFULI aagiza BOT kusitisha malipo ya Bil 925.9

Rais Dkt. JOHN MAGUFULI ameiagiza Benki kuu ya Tanzania BOT, kusitisha malipo ya shilingi Bilioni 925.6 ambayo tayari yalishaidhinishwa na badala yake yarejeshwe Wizara ya fedha na Mipango kwa ajili ya kufanyiwa uhakiki. Rais Dokta MAGUFULI ametoa agizo hilo, katika...

Thursday, March 10, 2016

Fursa za mafunzo zalenga kuwainua wanawake-Tanzania

Lengo la tano la malengo ya maendeleo endelevu au Ajenda 2030 linaangazia usawa wa kijinsia. Katika kufanikisha lengo hili mikakati muhimu inapaswa kuwekwa ili kuhakikisha kwamba nchi zinafanikiwa. Moja ya mikakati muhimu katika kufanikisha lengo ni kutoa mafunzo kwa wanawake...

Kasi ya kudhibiti madawa ya kulevya iendane na matibabu kwa waathirika- Ripoti INCB

Ripoti mpya ya Bodi ya kimataifa ya kuzuia madawa ya kulevya, INCB, imeshauri serikali duniani kuhakikisha harakati za kudhibiti upatikanajiwa dawa za kulevya zinaenda sambamba na harakati za kuwapatia dawa za matibabu waathirika wa madawa hayo. Akizungumza wakati wa uzinduzi...

Dokta JOHN MAGUFULI amesisitiza umuhimu wa TANZANIA kujifunza mbinu mbalimbali kutoka VIETNAM

Tanzania na Vietnam zakubaliana kushirikiana katika sekta mbalimbali TANZANIA na VIETNAM zimekubaliana kushirikiana katika nyanja za mawasiliano, elimu, kilimo, biashara na uvuvi ili kukuza uchumi wa nchi zote mbili ambazo zina mahusiano kwa takribani Miaka HAMSINI sasa. Hayo...